Jambazi aliye itikisa tarime kwa mauaji ametiwa mikononi mwa police akiwa amekimbilia mkoani tanga
pia na mwenzake kuawa na jeshi la police kikosi cha kanda maalum akiwa ameachiwa bunduki aina ya Cmg
pia police wanaenderea na mahojiano zaidi ilikujua alikuwa analengo gani.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
mwanga wetu maoni