Tafuta katika Blogu Hii
Jumanne, 3 Desemba 2013
DEREVA PIKIPIKI WAUWAWA GOKEMANGE
Dereva wa pikipiki wameuwawa na watu wanaosadikiwa ni majambanzi kwa kuwafyaturia risasi zilizo sababisha vifo vyao watu hao wariuwawa maeneo ya gokemange usiku wa kuamkia jana watu hao walio uwawa ni moromoro wa kijiji cha matongo wilaya ya Tarime na mwita mtundi wa kijiji cha nyamwaga matukio kama hayo yamekuwa yakitokea mara kwa mara na nilipo jaribu kuongea na mwenyekiti wa kijiji cha keisangora vipi wamejipanga vipi na urinzi shilikishi alisema yeye na wanakijiji wake wameweka ulinzi wa kutosha kukabiliana na ujambazi huo hivyo miili ya vijana hao imehifadhiwa katika hospitari ya wilaya ya tarime na mazishi yao yana tarajia kufanyika kesho na katika vijiji vyao pia jeshi la polisi lina fanya uchungu juu ya mauaji hayo habali zaidi na (MBARI PROTASI TOKA NYAMWAGA)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
mwanga wetu maoni