Ndani
ya mazungumzo yake Blatter alisikika anadhani kwa upande wake anadhani
Lionel Messi, lakini pia akisimama kutoka kitini kwa kujaribu kutoa
maelezo kwa mfano huelekeza maelezo kwa upande wa Ronaldo.
Blatter ni kama alikuwa akimchimba mshambuliaji wa Madrid akisema kuwa
'Mmoja ana matumizi makubwa kwa ajili ya nywele zake kuliko mwingine'.
Katika
mkutano wake na wanahabari kuelekea katikam mchezo wa kesho Jumatano
dhidi ya Sevilla, kocha wa Madrid Carlo Ancelotti amenukuliwa akisema
'Rais
Florentino Perez wa klabu yangu ametuma barua FIFA akitaka ufafanuzi
juu ya maoni hayo ambayo aymeonyesha juu ya kukosa heshima kwa
Cristiano.'
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
mwanga wetu maoni