Tafuta katika Blogu Hii

Alhamisi, 24 Oktoba 2013

ANAOMBA USHAURI WA KIMAPENZI MSAIDIENI TAFADHARI

Mimi nilikuwa na mpenzi wangu kwa miaka 6 lakini hatujawah sex sababu yeye alikuwa anakaa mkoa mwingne na akija dar kwa dada yake anabanwa sana
so tukawa hatuna muda wa kusex lakini tulikuwa na ndoto za kuoana na alikuwa ananiambia yeye bikra, lakini mwezi wa 8 mwaka huu dada yake akaniambia kuwa mdogo wangu ni malaya  ana wanaume wengi hata cm uliyo m2mia kahonga na bikra hamna, ikabidi nimbane dem wangu akakubari yote akasema nisamehe nitaachana nao wotee nakupenda wewe, nikamsamehe imepita week dada yake ananiambia leo tena amemuona na wanaume wake, sasa mimi nikamuacha nikawa nawasiliana na dada yake sana kwakweli mawasiliano yakanoga c tukajikuta tunapendana  tukatongozana  dada yake anasema yeye bikra na anakuja dar mwez wa 12 lakini dada mtoto wa baaba mkubwa na mdogo sasa tunapendana lakini mdogo wake amejua na wana bifu   NAOMBA USHAURI WENU NA MJAJI PIA.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

mwanga wetu maoni