Tafuta katika Blogu Hii

Jumanne, 17 Februari 2015

Huu Ndio Umri Halali Ya Kuolewa Nchini Malawi!

mwenga wetu
malawi Malawi ni moja ya nchi ambazo zina tatizo kubwa la ishu ya ndoa za utotoni, tafiti zinaonyesha karibu nusu ya wasichana wa nchi hiyo wameolewa wakiwa hawajatimiza miaka 18.
Kutokana na kuendelea kwa tatizo hilo la ndoa za utotoni, Malawi wamepitisha sheria mpya kuanzia sasa umri sahihi wa mtoto wa kike kuolewa ni kuanzia miaka 18.
Sheria hii itasaidia kulinda haki za watoto wetu wa kike.. Hawatakiwi kuozwa wakiwa kwenye umri wa kuwa shule..“– alisema Jessie Kabwila ambaye ni msemaji wa Chama cha Upinzani  cha MCP.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

mwanga wetu maoni