Tafuta katika Blogu Hii

Alhamisi, 13 Machi 2014

SAMWELI SITA AULA BUNGE LA KATIBA

Hatimaye Samweli Ameukwaa Uspika wa Bunge la katiba leo hii jioni kwa kwa kupata kura nyingi ....Mie Binafsi nimefurahi nahuhakika na Mzee huyo ...Kwani aliongoza Bunge Vizuri sana Enzi zake......Unasemaje kuhusu Sitta

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

mwanga wetu maoni