Tafuta katika Blogu Hii

Jumamosi, 26 Oktoba 2013

HII NDIO LIST YA WASANII WATAKAO WAKILISHA STEJI YA FIESTA 2013

Wiki iliyopita lista ya wasanii wawili kutoka nje ya Tanzania ilitangazwa, ambao ni Alaine (Jamaica) na Davido (Nigeria) ambae alithibitisha kushuka na J Martines, sasa leo hii wasanii wawili zaidi wamethibitishwa kushuka ikiwa ni
Mohombi ambae ametangazwa leo asubuhi pamoja na Iyanya kutoka Nigeria ambae ametangazwa
na hawa ndio wasanii wetu watakao-share stage moa na wasanii hao, Ommy Dimpoz, mwana FA na AY, Rich Mavoco, Makomando, Weusi, Lina, Shilole, Snura, Recho, Young Killer, Stamina, Country Boy, Godzilla, Cassim, Quick Rocka, Juma Nature, Ney wa mitego, Madee, Nikki Mbishi, Kala Jeremiah, Linex,

Chidi Benz, Shettah, H Baba, Samir, Darasa, Afande Sele, Baba Levo, Peter Msechu, Mabeste, Mirror, Menina, Walter, Nuhu, Cliff Mitindo, Blue, Young D, Dully, Amini, Christian Bella, TID, Kala Pina, Ney Lee, Fid Q, Ben Pol, Vanessa, Chege na Temba, Diamond na Gosby.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

mwanga wetu maoni