mwanga wetu
HAPA KAZI TU YA MAMA SAMIA YATIKISA MAJIMBO YA UBUNGO, KINONDONI NA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
Friday, September 4, 2015
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wake wa kampeni aliofanya leo katika eneo la Msasani jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakimshangilia mgombea ,wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, alipohutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam, leo
Mgobea Ubunge jimbo la Mtera na Mjume wa NEC, Livingstone Lusinde akihutubia mkutano wa kampni w Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, uliofanyika leo sasani jimbola Kawe jijini Dar es Salaam.
Mdhanini wa mali za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Anna Abdallah, akihutubia mkutano wa kampeni wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, uliofanyika jimbo la Kawe Dar es Salaam.
Lusinde akizungumza na Mbunge wa Afrika Mashariki Angela Kizigha, wakati wa mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salam
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Katiba, Samwel Sitta akihutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan akiwa na Mzee Sitta na Mgombea Ubunge jimbo la Kawe wa tikati ya CCM, Kippi Warioba, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyikaleo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam, leo
Vijana wa CCM, wakionyesha furaha zao, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa kampeni ulifanyika leo katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Ubungo, Dk. Didas Masaburi, katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.
Mgombea Ubunge jimbo la Ubungo Dk. Didas Masaburi akiomba kura kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.
Vijana wa hamasa wakiwa katika shamrashamra wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Jijini Dar es Salaam
Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni, Iddi Azan akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akimwelekeza jambo Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCm katika Jimbo la Kinondoni, Iddi Azan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia alipohutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, akihutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akiwaaga wananchi baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam
Wananchi wakimuaga Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Damia Suluhu Hassan baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Kwa Kopa, Mwananyamala, jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
Wananchi wakimshangilia mgombea ,wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, alipohutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam, leo
Mgobea Ubunge jimbo la Mtera na Mjume wa NEC, Livingstone Lusinde akihutubia mkutano wa kampni w Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, uliofanyika leo sasani jimbola Kawe jijini Dar es Salaam.
Mdhanini wa mali za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Anna Abdallah, akihutubia mkutano wa kampeni wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, uliofanyika jimbo la Kawe Dar es Salaam.
Lusinde akizungumza na Mbunge wa Afrika Mashariki Angela Kizigha, wakati wa mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salam
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Katiba, Samwel Sitta akihutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan akiwa na Mzee Sitta na Mgombea Ubunge jimbo la Kawe wa tikati ya CCM, Kippi Warioba, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyikaleo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam, leo
Vijana wa CCM, wakionyesha furaha zao, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa kampeni ulifanyika leo katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Ubungo, Dk. Didas Masaburi, katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.
Mgombea Ubunge jimbo la Ubungo Dk. Didas Masaburi akiomba kura kwa wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.
Vijana wa hamasa wakiwa katika shamrashamra wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Jijini Dar es Salaam
Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni, Iddi Azan akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akimwelekeza jambo Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCm katika Jimbo la Kinondoni, Iddi Azan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia alipohutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, akihutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akiwaaga wananchi baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam
Wananchi wakimuaga Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Damia Suluhu Hassan baada ya mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Kwa Kopa, Mwananyamala, jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
MAMA SAMIA ATINGISHA JIMBO LA KIBAMBA, DAR ES SALAAM MCHANA HUU
Wananchi wakimshangilia mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suhlu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ua CCM, Mama Samia Suluhu, akiwasalimia wananchi, alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Vwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, Dar es Salaam.
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia, akiwa tayari kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo Viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam, Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na kushoto ni Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCm jimbo la Kibamba Dk. Fenela Mkangara.
Wananchi wakimshangilia mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suhlu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akishangaa umati wa wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM uliofanyika katika wilaya hiyo leo.
Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Lina Sanga akionyesha manjonjo yake alipotumbuiza katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia uliofanyika viwanja vya Mbezi Centre, Dar es Salaam, leo
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda akiwahutubia wananchi katika mkutano wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilayani humo.
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, Angela kairuki, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, akimwelekeza jambo, Mbunge wa Afrika Mashariki Angela Kizigha, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre jimbo la Kibamba Dar es Salaam. Kushoto ni Mgombea Ubunge jimbo la Kibamba Dk. Fenela Mkangara
Wasanii wa bendi ya Yamoto, wakishambulia jukwaa, wakati wa mkutano wa kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, Kibamba jijini Dar es Salaam
Mama Salia akiwatuza wasanii wa bendi hiyo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassani akihutuba mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba Dar es Salaam
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Kibamba, Dk. Fenella Mkangara katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimboni humo leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ua CCM, Mama Samia Suluhu, akiwasalimia wananchi, alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Vwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, Dar es Salaam.
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia, akiwa tayari kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo Viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam, Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na kushoto ni Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCm jimbo la Kibamba Dk. Fenela Mkangara.
Wananchi wakimshangilia mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suhlu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akishangaa umati wa wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM uliofanyika katika wilaya hiyo leo.

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda akiwahutubia wananchi katika mkutano wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba wilayani humo.
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, Angela kairuki, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, akimwelekeza jambo, Mbunge wa Afrika Mashariki Angela Kizigha, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre jimbo la Kibamba Dar es Salaam. Kushoto ni Mgombea Ubunge jimbo la Kibamba Dk. Fenela Mkangara
Wasanii wa bendi ya Yamoto, wakishambulia jukwaa, wakati wa mkutano wa kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, Kibamba jijini Dar es Salaam
Mama Salia akiwatuza wasanii wa bendi hiyo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassani akihutuba mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika viwanja vya Mbezi Centre, jimbo la Kibamba Dar es Salaam
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Kibamba, Dk. Fenella Mkangara katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye viwanja vya Mbezi Centre, jimboni humo leo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
mwanga wetu maoni