Tafuta katika Blogu Hii

Jumatano, 29 Januari 2014

DIVA B 12 MCHOMVU WALEJESHWA KAZINI.

WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha.


Watangazaji hao walisimamishwa na uongozi wa Clouds baada ya kuchoshwa na tabia yao ya utovu wa nidhamu hivi karibuni. 

Credit:Udakuspecially.
>>Gonga Like Yako Hapa Kwa Mastory Kibao>>

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

mwanga wetu maoni