Tafuta katika Blogu Hii

Jumamosi, 5 Septemba 2015

MAMA SAMIA ARINDIMA TEMEKE, DAR ES SALAAM, WANANCHI KWA MAELFU WAFURIKA MKUTANO YAKE KATA YA BUZA

mwanga wetu


Thursday, September 3, 2015
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akilakiwa baada ya kuwasili katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika Kata ya Buza jimbo la Temeke jijini Dar es Salaam.
 Wananchi wakimshangilia mgombea Mwnza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni katika Kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam, leo jioni
  Wananchi wakimshangilia mgombea Mwnza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni katika Kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam, leo jioni
  Wananchi wakimshangilia mgombea Mwnza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni katika Kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam, leo jioni
 Vijana akipiga kwata ya furaha kumkaribisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu alipowasili katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika Kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es salaam
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan akimpatia maelekezo mgombea ubunge jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu katika mkutano wakampeni uliofanyika leo katika Kata ya Buza jimboni humo mkoani Dar es Salaam
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida akimkaribisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan kuhutubia mkutano wakampeni uliofanyika leo katika Kata ya Buza mkoani Dar es Salaam, leo.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika Kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam
 Umati wa wananchi ukimsikiliza mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, alipohutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam.
 Wananchi wakiwa katika hamasa wakati wa mkutano wa kampeni wamgombea mwenza kwa timeti ya CCM uliofanyika leo katika kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam.
 Vijana wa kundi cha ngonjera cha Fataki wakihamasisha kwa mashairi murua ya kuinadi CCm wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM uliofanyika leo katika Kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam leo
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akiwatuza vijana hao
 Baadhi ya wananchama wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia uliofanyika leo kwenye Kata ya Buza jimbo a Temeke mkoani Dar es Salaam, leo
 Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia yaliyokuwa yanajiri kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanywa na mgombea mwenza wa Urais wa tiketi ya CCM Mama Samia katika kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam
 Picha za mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli zimekuwa kivutio na hivyo kusababisha baadhi ya wajasiriamali kujipatia fedha kwa kuziuza kwa mashabiki kama ilivyokuwa jana katika mkutano wakampeni uliofanyika leo katika kata ya Buza jimbo la Temeke
Msafara wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan wakati ukienda kata ya Buza jimbo la Temeke kwenye mkutano wa kampeni leo. Picha zaidi BOFYA HAPA>PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

Jumatatu, 31 Agosti 2015

mwanga wetu

MASPIKA WA MABUNGE DUNIANI WAKUTANA UMOJA WA MATAIFA

Monday, August 31, 2015
Na Mwandishi Maalum, New York
Mkutano wa Nne  unaowakutanisha Maspika  180 na Manaibu Spika 35 kutoka nchi 140,  unaanza leo ( jumatatu) hapa Makao Mkuu ya Umoja wa Mataifa.


Mkutano  huu wa siku tatu na  ambao umeandaliwa  na  Chama cha Mabunge Duniani ( IPU), utafunguliwa na Rais wa  IPU  Bw. Chowdhury Saber na Katibu Mkuu wa Umoja wa Matafa,  Ban Ki Moon.


Spika wa Bunge  la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Mhe. Ann Makinda  anaongoza  ujumbe wa Tanzania katika mkutano huu.  Mkutano ambao  Maspika wanatarajiwa kujadiliana kwa kina namna ya kukabiliana na changamoto za Amani, Demokrasia na Maendeleo kwa  maono ya Kibunge.
Mkutano wa Nne wa Maspika,  ulitanguliwa na   Mkutano wa Kumi   wa  Maspika wanawake,  mkutano  uliofanyika kwa siku mbili ( jumamosi na Jumapili). Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Mhe. Ann Makinda ameshiriki kikamilifu na  kuongoza baadhi ya  mikutano.


Mkutano wa  Nne wa Maspika ni sehemu ya  mfululizo wa mikutano ya Maspika hao  na ambayo imekuwa  ikifanyika kuelekea Mkutano wa Kilele wa Viongozi wakuu wa Nchi na Serikali utakaofanyika wiki chache zijazo ambapo watapokea na kupitisha  Ajenda Mpya za  Maendeleo Endelevu  baada ya 2015.

 Baadhi ya  Wajumbe wa Mkutano wa Kumi wa Maspika  wanawake,   mkutano  uliojadili mbinu za kuchagiza  usawa wa kijinsia, miaka 20 baada ya Beijing pamoja na  kuhakikisha utekelezaji  wa malengo 17  ya Maendeleo Endelevu Baada ya 2015.
Maspika  Wanawake wakiwa  katika picha ya pamoja  na Rais wa IPU Bw.  Choedhury Saber na  Katibu Mkuu wa IPU Bw. Martin Chungong wakati wa mkutano wao wa siku mbili uliofanyika  jumamosi na jumapili, ukitangulia  mkutano wa nne wa Maspika  wa  Mabunge
mwanga wetu
KANYAGA-TWENDE YA MAMA SAMIA YAMALIZIKA SINGIDA NA KUANZA DODOMA
 Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais ka tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akitoka Singida mjini kwenda Dodoma, kupitia Ikungi na Manyoni kufanya mikutano ya kampeni leo.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimsalimia Mkuu wa wilaya mpya ya Ikungi, Gishuli Charles, alipowasili eneo la Makyungu, kufanya mkutano wa kampeni katika jimbo la Singida Kaskazini lililopo katika wilaya hiyo ya Ikungi. Kushoto ni Katibu wa CCM, Ikungi, Aluu Sagamba.
 Wananchi wakimshangilia Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili eneo la Makyungu kuhutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Singida Kaskazini, wilayani Ikungi.
 Wananchi wakiwa wamefurika kwenye mkutano huo wa Makyungu jimbo la Singida Kaskazini
 Mkuu wa mkoa wa Singida Parseko Kone akimsalimia Mkuu wa wilaya mpya ya Ikungi
 Kada wa CCM aliyeko katika kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM akionyesha furaha kutokana na mambo kwenda vizuri katika mkutano wa kampeni wa Makyungu,jimbo la Singida Kaskazini
 Eti, CCM haina vijana! kwani hawa ni Wazee?
 Mzee Maarufu kwa jina la Mzee Jeuri aliyekuwa Kada wa Chadema, akizungumza baada ya kutangaza kuhamia CCM kwenye mkutano huo wa Makyungu
 Mzee jeuri akisalimiana na mgombea mwenza wa Urais Mama Samia Suluhu Hassan baada ya kuichana Chadema jukwaani, akisema kuwa chama hicho kimeua upinzania nchini kwa kumkaribisha Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa tuhuma za ufisadi, Edward Lowassa ambaye sasa ndiye mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema.
 Wananchi wakizidi kushamiri kwenye mkutano huo
 Katibu Mkuu wa UWT, Amina Makilagi akiwa amewabeba watoto Hussein na Hassan waliokuwa kwenye mkutan wa kampeni wa mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia kwenye eneo la Makyungu, Ikungi
 Mgombea Ubunge wa jimbo la Singida Kaskazini, Jonathan Njau akisalimia wananchi alipotambulishwa kwenye mkutano huo wa Makyungu.
 Mgombea Ubunge wa jimbo la Singida Kaskazini, Jonathan Njau akiomba kura kwa wananchi alipotambulishwa kwenye mkutano huo wa Makyungu
 Wananchi wakisikiliza Katibu Mkuu wa UWT, AminaMakilagi wakati akimkaribisha Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, MamaSamia kwenye mkutano huo wa makyungu
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akihutubia wananchi kwenye mkutano huo wa Makyungu, Ikungi mkoani Singida 
 Mwandishi wa habari nguri wa TBC, Emmanuel Amas akiwa kazini wakati msafara ukielekea Dodoma baada ya kumalizika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais Mama Samia
 Masafara wa Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan ukienda Manyoni kupiga mkutano mwingine wa kampeni
 Wananchi wakiwa kwenye mnara wa kumbukumbu, kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Manyoni, kumsubiri Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassani akiwasili kuhutubia mkutano wa kampeni kwenye Ofisi ya CCM Manyoni
  Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassani akiwasili kuhutubia mkutano wa kampeni kwenye Ofisi ya CCM Manyoni
 Mbunge wa Manyoni Mashariki, John Chiligati, akimuombea kura Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM, John Magufuli, katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Viwanja vya Ofisi ya CCM wilaya ya Manyoni 
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, akihutubia mkutnao wa kampeni kwenye Ofisi ya CCM, Manyoni
BAHI-DODOMA
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akiwasili kwenye Uwanja wa mkutano wa kampeni, katika jimbo la Bahi mkoani Dodoma
 Wananchi wakiwa katika shamrashamra kumpokea Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia alipowasili jimbo la Bahi kuhutubia mkutano wa kampeni
 Mama Samia akiagana na baadhi ya viongozi wa CCM wa mkoa wa Singida waliomsingiza hadi Bahi mkoani Dodoma.
 Mgombea Mwenza wa Uras kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa CCm mkoa wa Singida waliomsindikiza hadi Bahi Dodoma  
 Wananchi waliofurika kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM katika jimbo la Bahi mkoani Dodoma
 Baadhi ya viongozi waliopo kwenye msafara wa mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM wakiwa kwenye mkutano wa kampeni jimbo la Bahi mkoani Dodoma
 Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Singida, Diana Chilolo akimuombea kura Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM, John Magufuli kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Bahi mkoani Dodoma
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika jimbo la Bahi mkoani Dodoma. 
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akimnadi mgombea Ubunge, wa Bahi Omari Badwel, mkutano wa kampeni uliofanyika leo kaika jimbo la Bahi mkoani Dodoma leo.